MSLAC YAZIDI KUIMARISHA UPATIKANAJI WA HAKI KWA WANANCHI NCHINI TANZANIA
Kampeni ya Msaada wa Kisheria nchini Tanzania imezidi kushika kasi, ikiwalenga wananchi wa kawaida kwa kuwapatia elimu ya sheria na msaada wa kisheria bure. Kampeni hii, inayoendeshwa chini ya mwamvuli wa Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Samia (MSLAC), inalenga kuhakikisha kuwa haki inapatikana kwa wote, hususan kwa makundi yaliyo pembezoni kama wanawake, watoto, na watu wa kipato cha chini. Tangu kuanzishwa kwake, kampeni hii imefanikiwa kuwafikia wananchi wengi katika mikoa mbalimbali, ikiwemo Shinyanga, Kisarawe, Morogoro, Iringa, Songwe, na Mara. Katika maeneo haya, wananchi wamepata mafunzo kuhusu sheria za ardhi, mirathi, ndoa, kesi za jinai, ukatili wa kijinsia, mikataba ya ajira, na umuhimu wa kuandika wosia. Aidha, kampeni hii imehimiza matumizi ya njia mbadala za utatuzi wa migogoro, kama usuluhishi na maridhiano, ili kupunguza mrundikano wa kesi mahakamani. Kwa kushirikiana na Wizara ya Katiba na Sheria, pamoja na taasisi mbalimbali kama Tanganyika Law Society (...






Kampeni ya msaada wa kisheria ya Mama Samia inakwenda kujenga jamii yenye uelewa mpana katika masuala ya kisheria ya ardhi,ndoa,mirathi,ukatili wa kijinsia na wosia jambo ambalo linatengeneza jamii imara yenye haki,usawa, amani na maendeleo.
ReplyDelete#MSLAC #SSH #NaipendaNchiYangu #SisiNiTanzania #SioNdotoTena #kaziiendelee #katibaNaSheria
Kampeni ya msaada wa kisheria kwa haki,usawa na maendeleo #ssh #sisinitanzania #matokeochanya #Mslac #nchiyangukwanza #kaziiendelee
ReplyDelete