Huduma ya Msaada wa Kisheria Yafika Halmashauri ya Rorya, Mara: Wananchi wa Kata ya Bukura, Kijiji cha Bubombi na Kirongwe Wapata Mafunzo Kuhusu Haki na Sheria Muhimu







Katika muendelezo wa utekelezaji wa utoaji huduma ya msaada wa kisheria, timu ya afisa maendeleo ya jamii kutoka Halmashauri ya Rorya, Mara, ilitua katika kata ya Bukura, kijiji cha Bubombi na Kirongwe kwa lengo la kuwafikia wananchi na kuwajulisha juu ya uwepo wa dawati la msaada wa kisheria ndani ya halmashauri yao. Wananchi walipata fursa ya kujuzwa kuhusu namna dawati hili linavyofanya kazi na umuhimu wake katika utoaji wa haki.

Wakati wa ziara hiyo, mada mbalimbali zilijadiliwa kwa kina, ikiwa ni pamoja na Sheria ya Ardhi, Sheria ya Ndoa, Mirathi na Wosia, Ukatali wa Kijinsia, Utatuzi wa Migogoro, na Haki za Watoto. Huduma hii ni sehemu ya juhudi endelevu za kuhakikisha wananchi wanapata taarifa muhimu na msaada wa kisheria ili kutatua changamoto zinazowakabili katika jamii zao.

Comments

  1. Msaada wa kisheria Kwa haki, usawa, amani na maendeleo #mslac #sisinitanzania #hayandiomatokeochanya

    ReplyDelete
  2. Huduma hii ni bure kwa watanzania wasiokuwa na uwezo nchi nzima

    ReplyDelete
  3. Kampeni ya Mama Samia ya Msaada wa Kisheria (MSLAC) imekua ni nafuu kubwa kwa Watanzania wengi katika kuzijua haki na kujua namna yakutatua mogogoro inayowakumba katika jamii zao,
    Haya ni matokeo mazuri kwa nchi yetu yaTanzania

    ReplyDelete
  4. Kampeni ya msaada wa kisheria ya Mama Samia imekuwa Faraja na suluhu kwa changamoto mbalimbali za kisheria zinazowakabili wananchi.
    #sisinitanzania
    #SSH
    #matokeochanya
    #Mslac

    ReplyDelete
  5. MSLAC inaendelea kuwa nguzo muhimu ya upatikanaji wa haki kwa Watanzania, ikileta msaada wa kisheria kwa wote wanaohitaji🇹🇿
    #MSLAC #Katibanasheria #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya

    ReplyDelete
  6. Kampeni ya msaada wa kisheria ya Mama Samia kwa kila mtu ,mahali popote na hutolewa bure bila malipo yoyote lengo ni kuleta haki,usawa na amani katika jamii.#ssh#sisinitanzania#Mslac

    ReplyDelete
  7. MSLAC inawafikia kila mahali uwapo katika ngazi za halmashauri zote nchini na huduma hii ni bure kabisa #sisinitanzania #matokeochanya #mslac

    ReplyDelete
  8. Watu wamepata elimu ya kutosha kuhusu maswala ya Haki na utawala Bora #ssh #tanzaniayangu #matokeochanya #sisinitanzania #mslac #kaziiendelee

    ReplyDelete
  9. Kila chocho kila mtaa huduma inatufikia, hakika ni faraja kutembelewa na maafisa Hawa wa msaada wa Kisheria
    #HayaNdioMatokeoChanya+
    #Katiba_sheria
    #MSLAC
    #DrSSH
    #Kaziiendelee

    ReplyDelete
  10. Ulipo tupo huduma ya msaada wakisheria inakufikia #ssh #Mslac #sisinitanzania #katibanasheria #nchiyangukwanza #kaziiendelee

    ReplyDelete
  11. Huduma ya msaada wakisheria inafika popote Tanzania
    #ssh
    #Mslac
    #sisinitanzania
    #katibanasheria #nchiyangukwanza
    #kaziiendelee
    #matokeochanya

    ReplyDelete
  12. MSLAC ni dawati la msaada wa Kisheria la kuaminika #ssh
    #Mslac
    #sisinitanzania
    #katibanasheria #nchiyangukwanza
    #kaziiendelee
    #matokeochanya

    ReplyDelete

Post a Comment

Popular posts from this blog