MSLAC YAZIDI KUIMARISHA UPATIKANAJI WA HAKI KWA WANANCHI NCHINI TANZANIA
Kampeni ya Msaada wa Kisheria nchini Tanzania imezidi kushika kasi, ikiwalenga wananchi wa kawaida kwa kuwapatia elimu ya sheria na msaada wa kisheria bure. Kampeni hii, inayoendeshwa chini ya mwamvuli wa Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Samia (MSLAC), inalenga kuhakikisha kuwa haki inapatikana kwa wote, hususan kwa makundi yaliyo pembezoni kama wanawake, watoto, na watu wa kipato cha chini. Tangu kuanzishwa kwake, kampeni hii imefanikiwa kuwafikia wananchi wengi katika mikoa mbalimbali, ikiwemo Shinyanga, Kisarawe, Morogoro, Iringa, Songwe, na Mara. Katika maeneo haya, wananchi wamepata mafunzo kuhusu sheria za ardhi, mirathi, ndoa, kesi za jinai, ukatili wa kijinsia, mikataba ya ajira, na umuhimu wa kuandika wosia. Aidha, kampeni hii imehimiza matumizi ya njia mbadala za utatuzi wa migogoro, kama usuluhishi na maridhiano, ili kupunguza mrundikano wa kesi mahakamani. Kwa kushirikiana na Wizara ya Katiba na Sheria, pamoja na taasisi mbalimbali kama Tanganyika Law Society (...






Msaada wa kisheria ni bure kwa kila Mkoa , kwa kila Halmashauri, kila kata, kila kijiji, Msaada wa kisheria ni haki, usawa, Amani na maendeleo
ReplyDelete#SisiniTanzania
#MSLAC
#matokeochanya
#sisindiowajenziwaTanzaniayetu
#nchiyangukwanza
#naipendanchiyangu
#SSH
#kaziiendelee
Huduma ya msaada wa Kisheria wa mama Samia ni Daraja la Elimu na msaada wa Kisheria Kwa Wananchi Wote hasa wenye kipato duni ambao wanashindwa kumudu gharama za mawakili.
ReplyDelete#MSLAC #Katibanasheria #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya
Mama kawafikia pia wasio weza kukidhi haja ya kulipa mwanasheria Kusimamia kesi zao, kupitia MSLAC ni bure
ReplyDeleteUsiruhusu kukosa uelewa wa sheria kukunyima haki zako. Kampeni ya Msaada wa Kisheria (MSLAC) inakuletea msaada wa kisheria na elimu bila malipo kwa wote. 🇹🇿
ReplyDelete#MSLAC #Katibanasheria #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya