MSAADA NA ELIMU YA KISHERIA BURE KWA WATANZANIA WOTE!








 

Comments

  1. Msaada wa kisheria ni bure kwa kila Mkoa , kwa kila Halmashauri, kila kata, kila kijiji, Msaada wa kisheria ni haki, usawa, Amani na maendeleo
    #SisiniTanzania
    #MSLAC
    #matokeochanya
    #sisindiowajenziwaTanzaniayetu
    #nchiyangukwanza
    #naipendanchiyangu
    #SSH
    #kaziiendelee

    ReplyDelete
  2. Huduma ya msaada wa Kisheria wa mama Samia ni Daraja la Elimu na msaada wa Kisheria Kwa Wananchi Wote hasa wenye kipato duni ambao wanashindwa kumudu gharama za mawakili.
    #MSLAC #Katibanasheria #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya

    ReplyDelete
  3. Mama kawafikia pia wasio weza kukidhi haja ya kulipa mwanasheria Kusimamia kesi zao, kupitia MSLAC ni bure

    ReplyDelete
  4. Usiruhusu kukosa uelewa wa sheria kukunyima haki zako. Kampeni ya Msaada wa Kisheria (MSLAC) inakuletea msaada wa kisheria na elimu bila malipo kwa wote. 🇹🇿
    #MSLAC #Katibanasheria #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya

    ReplyDelete

Post a Comment

Popular posts from this blog